Sunday, December 27, 2015

MBWANA SAMATTA KARIBU KUTUA UBELGIJI KATIKA KLABU YA GENK

Hatimaye Mbwana Samatta anaweza kucheza ligi ya Ubelgiji katika klabu ya Genk na kuweza kutimiza ndoto yake ya kucheza ulaya kwa mara ya kwanza.Mbwana Samatta safari yake haikuwa rahisi kama tunavyoweza ila bidii ndio imemfikisha hapo alipo kukaa ndani ya Timu yenye vipi tofauti TP MAZEMBE si mchezo hatuna budi kumtakia heri kama atafanikiwa kwenda GENK.

Tokeo la picha la mbwana samata

0 comments:

Post a Comment