Hamna anayeweza amini kwa nini Deo ameondoka mapema.Marehemu Dr Remmy Ongola aliimba akilalama kifo hakina huruma.Ni kweli DEo mauti yamemfika jana baada ya chopa iliyombeba kuanguka katika hifadhi ya Selous.Hakika LUDEWA na Watanzania watakukumbuka daima jembe lao hakika hakuna wa kuzuia kifo.Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimie lala salaam kaka Deo.
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
3 hours ago







0 comments:
Post a Comment