Hamna anayeweza amini kwa nini Deo ameondoka mapema.Marehemu Dr Remmy Ongola aliimba akilalama kifo hakina huruma.Ni kweli DEo mauti yamemfika jana baada ya chopa iliyombeba kuanguka katika hifadhi ya Selous.Hakika LUDEWA na Watanzania watakukumbuka daima jembe lao hakika hakuna wa kuzuia kifo.Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihidimie lala salaam kaka Deo.
DC SHAKA ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI KUTUMIA NYUMBA ZA IBADA KUJENGA
JAMII YENYE HOFU YA MUNGU
-
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
MKUU wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka, amewataka viongozi, Taasisi za
dini kutumia nyumba za ibada kujenga jamii yenye maa...
3 hours ago







0 comments:
Post a Comment