Tuesday, December 1, 2015

TANZANIA:BEI YA PETROL NA DIZELI YASHUKA HUKU MAFUTA YA TAA IKIPANDA.

EWURA(Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji imetangaza punguzo la bei za kikomo kwa Petrol,Dizeli na Mafuta ya taa kuanzia Desemba 2.

Petrol imeshuka kwa asilimia 1.38 sawa na Shs 28

Dizeli ikishuka kwa asilimia 2.96 sawa na Shs 56

Mafuta ya taa yameongezeka kwa asilimia 1.85 sawa Shs 32.

Tokeo la picha la petrol station


0 comments:

Post a Comment