Tuesday, December 1, 2015

ALIYEKUWA KAMISHINA WA TRA ATAJWA KUHUSIKA UPOTEVU WA DOLLA BILLIONI SITA.

Aliyekuwa Kamishina Mkuu Harry Kitillya katika sakata la sasa kuhusiana na pesa ambayo Tanzania ilikopa kwa ajili ya maendeleo ya nchi huku ikisaidiwa na Stanbic Bank kuezesha mkopo ambao umebainika kuwa kuna ongezeko la kama dola billioni sita ambazo zilipwa kwa kampuni ya EGMA.

EGMA ambayo iliundwa mwaka 2011 kama mshauri wa masuala ya uwekezaji hivyo katika wakati ambao makubaliano yakifanyika na pesa kupewa Tanzania Kitillya ndie aliyekuwa Mkurugenzi wa Bodi kabla ya kustaafu.Hivyo kati ya watu waliotajwa kuhusika katika dili hili Kamishina Mstaafu ametajwa na wengine ni Mboya(Marehemu) na Gasper Njuu.

Tokeo la picha la harry kitillya

0 comments:

Post a Comment