Wednesday, December 30, 2015

LIVERPOOL YAIPIGA SUNDERLAND

Liverpool players celebrate

Christian Benteke shujaa akiwa na kundi la wachezaji wenzake baada ya kufunga goli.

Liverpool jana usiku waliishinda Sunderland kwa goli moja na kufikisha point 30 sawa na Manchester United.Shujaa wa jana alikuwa raia wa Ubelgiji Christian Benteke katika dk ya 46 alipofunga goli safi na kuipa Liverpool ushindi muhimu.

Christian Benteke

Benteke akishinda goli.


0 comments:

Post a Comment