Wednesday, December 30, 2015

MANCHESTER CITY YATOSHANA NGUVU NA LEICESTER

Man city jana usiku ilishindwa kupata pointi tatu kutoka kwa Leicester baada ya kutoka sululu.Matokeo hayo yamekuwa faraja kubwa kwa Arsenal ambayo inaendelea kushika usukani wa Ligi hiyo.

Leicester v Manchester CityMtifuano kati ya wachezaji wa man city na leicester

0 comments:

Post a Comment