Thursday, December 3, 2015

MAMBO 15 KATIKA HOTUBA YA MAGUFULI NA WAFANYABIASHARA(SEKTA BINAFSI) NI MATUMAINI MATUPU KWA WATANZANIA

Raisi Magufuli

Hakika hiki ndicho tulichokosa Watanzania kwa muda mrefu jana Mweshimiwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alipata wasaa wa kuzungumza kwa mara ya kwanza na baadhi au wajumbe(wawakilishi) wa wafanya biashara hapa Tanzania

Hotuba yote ilijaa msisimko wa hali ya juu huku akiaanisha maeneo ambayo watanzania walikuwa wakiyasema sana ila masikio ya viongozi waliopita walifumba macho na kuziba masikio kabisa kabisa mambo hayo ni

i.Usafirishaji wa mchanga kwenda nje nchi kusafishwa wakati hatua za kusafisha ni rahisi kabisa akisisitiza.

ii.India kuwa nchi ya kwanza kuuza Tanzanite na Kenya ya pili wakati inatoka Tanzania

iii.Nchi kushindwa kuwa na viwanda hata vya toothpick au vibiriti

iv.Wawekezaji kuviachaa viwanda ambavyo walinunua wakati wa ubinafsishaji

v.Ndege kutua maeneo ya migodi na kubeba visivyojulikana

vi.Tanzania kukosa viwanda vya ngozi wakati ni ya pili baada ya Ethiopia kwa Africa

Vii.Watanzania kuzodolewa kuwa hawawezi kuwekeza katika nchi yao kwa kuwa hawana mitaji na wawazawa watapewa kipaombele atakaye chelewesha atakiona.

viii.Uporaji wa ardhi kwa matajiri na kupewa hati katika maeneo ya wazi

ix.Kukosa kiwanda cha samaki hali tuna eneo kubwa la uvuvi

x.Kahawa kukosa soko kutokana na kodi,sukari,viwanda vya maziwa n.k

xi.Ukwepaji wa kodi kwa wafanyabiashara wakubwa,na matajiri kuwa mawakala wa walipa kodi wadogo kwa TRA.

xii.Sekta ya utalii ni changamoto ni kwani hatuja pata mapato ya kutosha.

xiii.Siku saba wafanyabiashara wakalipe kodi zao walikwepa.

xiv.Mabenki yawe na ubunifu kuliko kufanya biashara na serikali.

xv.Mashine za TRA kwa nini zisitolewe bure halafu 

0 comments:

Post a Comment