Monday, December 28, 2015

MAGUFULI AWAAPISHA KINA MAGHEMBE NA WENZAKE KUANZA KAZI RASMI

Raisi Magufuli leo amewaapisha Mawaziri na Manaibu ambao aliwateua katika zile Wizara ambazo zilikuwa bado hazijapata watendaji hao.Mawaziri hayo ni

1.Profesa J Maghembe-Waziri Maliyasili na Utalii

2.Dkt Philip Mpango-Waziri wa Fedha na Mipango

3.Mhandishi Gerson Lwenge-Waziri Maji na Umwagiliaji

4.Dkt Joyce Ndalichako-Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi

5.Hamad Masauni-Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

6.Prof Makame Mbarawa-Waziri ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano.

Maghembe akila kiapo

Mawaziri wapya kabla kuapishwa.



0 comments:

Post a Comment