Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
NCHIMBI AKIPOKEA BARAKA ZA MAMA YAKE MZAZI
-
Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda
mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa
Chama Cha...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment