Mkali wa Tenkomiles toka Nigeria yupo jijini Dar tayari kuwasha moto katika tamasha la mkesha wa mwaka litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Kingsolomoni.Jamaaa akiwa anatamba na wimbo wake wa DURO.
Hakika si pakukosa ili uwezw kufunga mwaka 2015 vizuri kwa burudani kutoka kwa mkali huyo huku tiketi ni 40,000/= kabla ya saa tisa na baada ya hapo ni 70000/=.
RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII
-
Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa
utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi.
RC Mal...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment