Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.
Fellain akishangilia goli la kusawazisha.
Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.
Muuaji wa Man u akishangilia goli.
DK.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI SHINYANGA KUMPIGIA KURA ZA KISHINDO ZA URAIS
DKT.SAMIA,WABUNGE NA MADIWANI.
-
Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel
John Nchimbi akiwahutubia Wakazi wa mji mdogo wa Isaka wilayani Kahama,
jimbo...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment