Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.
Fellain akishangilia goli la kusawazisha.
Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.
Muuaji wa Man u akishangilia goli.
RAIS SAMIA AMELITENDEA HAKI TAIFA – SPIKA DKT. TULIA
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa
Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ametoa pongezi za dhati kwa
Rais wa Ja...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment