Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.
Fellain akishangilia goli la kusawazisha.
Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.
Muuaji wa Man u akishangilia goli.
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi la
Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uadili...
7 hours ago
0 comments:
Post a Comment