Saturday, December 12, 2015

MAN CITY YAPATA USHINDI WA KIMAZABE HUKU MAN U IKIFUNGWA NA KIBONDE ,MATOKEO MENGINE LIGI KUU HAYA HAPA

Man city jana walifanikiwa kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea baada ya kupata bao la pili katika dakika za nyiongeneza baada ya Gomiz kusawazisha lakini Toure alifunga bao la ushindi.

Maroune Fellaini celebrates

Fellain akishangilia goli la kusawazisha.

Manchester United ilishindwa kufurukuta tena jana na kukubali kichapo cha 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth.

Josh King

Muuaji wa Man u akishangilia goli.


MATOKEO YA MECHI ZA JANA

0 comments:

Post a Comment