Saturday, December 5, 2015

MANCHESTER CITY YALALA KWA STOKE CITY

Timu ya Man City  imeshindwa kustaimili mikiki ya Stoke City  baada ya kufungwa goli Mbeki moja.Tiki unaweza kupoteza uongozi wa log I katiba kipindi hiki ambacho Leicester City  ikiwa katika kiwango cha juu.Man City wamebaki na point 29 na kama Arsenal na Leicister watashinda leo basi kuna uwezekano wwakashuka zaidi katika msimamo wa ligi hiyo

0 comments:

Post a Comment