Saturday, December 12, 2015

NCHI YAANZA KWENDA MCHAKAMKA BAADA YA MAWAZIRI KUAPISHWA JANA,SIKIA BAADHI YAO NA KAULI ZAO


Siku ya Jumamosi ilikuwa ni siku maalumu kwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri kula kiapo kama ishara ya kuanza kazi ramsi chini ya kauli MBIU HAPA KAZI TU.Baada tu kuapishwa mawaziri walitoa matamko.


1.William Lukuvi-Waliojenga maeneo yasiyo rasmi waanze kutekeleza wajibu wao

2.Dr Kigwangala-Board yote ya hospitali ya Amana tukutane kesho saa 10 Wizarani kwa maelekezo zaidi

3.Ummy Mwalimu-Vyandarua vinunulie katika hospitali ya Mwananyamala na maboresho yafanyike haraka

4.Muhongo-Kasi ya umeme vijijini itarudi pale pale,bei itashuka ya umeme na kazi ifanyike kwa vitendo

5.Kairuki-Tehema itumuke katika mahudhurio ya wafanyakazi waachane na madaftari

6.Nape haki za wasanii zitalindwa

 


0 comments:

Post a Comment