Friday, December 4, 2015

KAZI IMEANZA 8 WA TRA WAFIKISHWA KORTINI KWA UFISADI

Wafanyakazi wa TRA ambao wamehusika katika upotevu wa makontena 349 wamefikishwa mbele ya mahakama ya Kisutu kujibu tuhuma za kuhujumu uchumi na kuisababishia serikali kukosa kodi kiasi cha bilioni 12.7.Washitakiwa hao akiwemo kamishina wa forodha Tiagi Masamaki walikosa dhamana na kurudishwa rumande.


0 comments:

Post a Comment