Saturday, October 31, 2015

CHELSEA YAFA 3-1 DARAJANI,ASERNAL YAIFUNGA 3-0 SWANSEA HUKU MAN CITY IKING'AA NA MANU UNITED YABWANA,MATOKEO HAPA

Mechi ya Chelsea na Liverpool imeisha huku jinamizi likiendelea kuwaumiza Chelsea baada ya kufa 3-1 kwa Liverpool mechi ikiwa Daraji.Magoli yakifungwa na Benteke 1 na Coutihno 2 huku la Chelsea likipatikana dakika 4 kupitia kwa Ramirez.

Philippe Coutinho scores his second goal for Liverpool at Chelsea

Coutinho akifunga goli

Asernal wameza kuwafunga Swansea 3-0 wakiwa ugenini huku Giroud,Campbell na Koscienly  wakifunga kila mmoja.


Olivier Giroud scores Arsenal's first goal against Swansea

Giroud akifunga goli

Man United walishindwa kutamba baada ya kutoka sare la Crystal Palace ya bila kufunguna.

Wayne Rooney (right)

Man City iliendelea kujikita kileleni kwa tofauti ya magoli na Asenal baada ya kuifunga Norwich 2-1.Otamendi na Toure wakifunga magoli ya Man city.

Yaya Toure penalty

Yaya Toure akifunga goli lake kwa penati.


MATOKEO YA LEO

0 comments:

Post a Comment