Kada wa CCM kwa zaidi ya miaka 61 Mzee wetu Kingune Ngomali Mwiru ameamua kuachia ngazi na kujiweka pembeni na siasa za Tanzania.Huku akisema amechoshwa na chama ambacho kimeshindwa kufuata katiba yake hivyo no bora akae pembeni na kuaahidi kuwa hana sababu ya kujiunga na chama chochote.Na amesisitiza kuwa huu ni wakati wamabadiliko akiiamini puumzi mpya inahitajika katika kuongoza taifa letu akitoa mfano kuwa kwa miaka kumi toka 2005-2015 uchumi wa Tanzania umeshindwa kukua.Hiyo inatosha kabisa kuacha nafasi kwa chama chake cha zamani ili kiweze kujipanga hivyo kama kitashindwa.Tunamtakiwa mzee wetu maisha mapya nje ya siasa kwaheri Mzee Kingunge.
JUMUIYA YA WAZAZI IKUNGI YAPOKEA VIFAA VYA UJENZI KUTOKA KWA MISANGA.
-
Mjumbe kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Singida Ndg Ahmed
Misanga ambae pia ni mratibu wa shughuli za wazazi ikungi ametoa Vifaa Vya...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment