Kada wa CCM kwa zaidi ya miaka 61 Mzee wetu Kingune Ngomali Mwiru ameamua kuachia ngazi na kujiweka pembeni na siasa za Tanzania.Huku akisema amechoshwa na chama ambacho kimeshindwa kufuata katiba yake hivyo no bora akae pembeni na kuaahidi kuwa hana sababu ya kujiunga na chama chochote.Na amesisitiza kuwa huu ni wakati wamabadiliko akiiamini puumzi mpya inahitajika katika kuongoza taifa letu akitoa mfano kuwa kwa miaka kumi toka 2005-2015 uchumi wa Tanzania umeshindwa kukua.Hiyo inatosha kabisa kuacha nafasi kwa chama chake cha zamani ili kiweze kujipanga hivyo kama kitashindwa.Tunamtakiwa mzee wetu maisha mapya nje ya siasa kwaheri Mzee Kingunge.
Job Ndugai afariki Dunia Leo Agosti 6, 2025
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma.*
*Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa
Kongwa, Job Yustino Ndugai, amefariki dunia leo Ag...
13 hours ago
0 comments:
Post a Comment