Monday, November 9, 2015

RAISI BUHARI KAMA RAISI MAGUFULI WA TANZANIA AMPIGA CHINI MKURUGENZI WA KUPAMBANA NA RUSHWA

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amemfuta kazi mkuu wa Taasisi ya kupambana na Rushwa nchini humoa ndugu Ibrahamu Lamorde ambaye ameshikilia wadhifa huo tangu 2011.Hadi sasa Raisi huyo bado hajawaapisha mawaziri wake inatarajia wiki hii zoezi hilo linaweza kufanyika.

Tokeo la picha la buhari president

0 comments:

Post a Comment