Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
Jaji Mkuu Masaju Kusimamia Uboreshaji wa Upatikanaji wa Haki kwa Mahabusu
na Wafungwa
-
*●Atoa ahadi hiyo alipotembelea Gereza la Isanga Dodoma*
*●Apongeza uboreshaji huduma za magereza nchini*
*Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma.*
*Jaji Mkuu ...
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment