Sunday, November 22, 2015

BAADA YA ZANZIBAR HEROES KUPIGWA NA BURUNDI LEO ZAMU YA KILIMAJARO STARS CECAFA

Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B

Tokeo la picha la zanzibar heroes images

Zanzibar Heroes

Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.

Tokeo la picha la kilimanjaro stars

King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars






0 comments:

Post a Comment