Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
WIZARA YA ARDHI YAINGILIA KATI SAKATA LA ENEO LENYE MGOGORO GEITA
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa
matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibw...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment