Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
WASIRA APELEKA HABARI NJEMA TUNDUMA KUHUSU UPATIKANAJI WA MAJI,UPANUZI WA
BARABARA
-
Na Said Mwishehe,Tunduma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira
amewahakikishia wananchi wa Tunduma Mkoani Songwe kuwa Serikali
in...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment