Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
Orodha fupi ya Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL 2024 yatangazwa Dar es Salaam
-
Dar es Salaam, Juni 26, 2025 – Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL ya Fasihi ya
Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada iliyofuzu kwa mwaka 2024,
ikionesha us...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment