Mashindano ya CECAFA yanayoendelea nchini ETHIOPIA jana yalianza na kushuhudia Zanzibar Heroes wakitunguliwa na Burundi kwa goli moja lilofungwa na Didier Kavumbagu dk 39 yamchezo.Mchezo huo ni wa Group B
Zanzibar Heroes
Leo ni zamu ya ndugu zao ambao watapepetana na Somalia katika mchezo wa Group A.
King Kibade kocha wa Kilimajaro Stars
BARAZA LA USHINDANI LATOA ELIMU KWA WADAU DODOMA
-
*KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati
akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma
len...
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment