Sunday, November 22, 2015

RAISI MAGUFULI KASI 180 KUPUNGUZA MATUMIZI YASIO NA TIJA TENA SERIKALINI

Baada ya Rais Magufuli kufuta utaratibu wa sherehe za wabunge na kuweka bajeti ndogo kabisa katika tafrija hiyo iliyokuwa itumbue zaidi milioni 235 na kuhamishia fedha zote katika kununu vitanda vya wagonjwa pale Muhimbili agizo ambalo limeshafanyiwa kazi na vitanda vimeshanunuliwa na vinaendelea kufungwa tayari kuwwapatia wagonjwa wanaolala chini.

Wakati huhuo Raisi amekata safari ya viongozi walitarajia kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola kwa taarifa safari hiyo ingeweza kuwa na gharama ya milioni 700 kama viongozi wote wangeenda na badala yake ni viongozi wanne walioruhusiwa kwenda.

Tokeo la picha la images of magufuli

0 comments:

Post a Comment