Thursday, November 26, 2015

SERIKALI YA AWAMU YA TANO NI NOMA

Serikali ya awamu ya tano imetoa maelekezo mengine kama hatua ya kubana matumizi baada ya kutoa tamko kuwa mwaka 2015 serikali haitaingia gharama za uchapishaji kadi za XMAS AND NEW YEAR kama ilivyozoeleka.Hivyo matumizi hayo yataelekezwa kwenye mambo muhimu ya kijamaa.Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa mawasiliano Gerson Msigwa.

0 comments:

Post a Comment