Wakilishi wa Tanzania Bara Kili Stars itashuka uwanjani leo saa kumi tayari kwa mechi yake ya pili dhidi ya Amavubi timu ya Taifa ya Rwandwa.Ikikumbukwa Kili Stars katika mechi yake ya kwanza iliifunga Somalia 4-0.Ni matumaini ya Watanzania timu itaendeleza ubabe kwa Amavubi leo pia.
Wakati Zanzibar Heroes walioanza vibaya leo nao wanakibarua kingine cha kusaka pointi ili waweze kusonga hatua ya pili watakapo kutana na timu ngumu ya Uganda.
Kapteni Zanzibar heroes(Nadir Cannavaro)
WASIRA APELEKA HABARI NJEMA TUNDUMA KUHUSU UPATIKANAJI WA MAJI,UPANUZI WA
BARABARA
-
Na Said Mwishehe,Tunduma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira
amewahakikishia wananchi wa Tunduma Mkoani Songwe kuwa Serikali
in...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment