Monday, November 23, 2015

KILI STARS,ZANZIBAR HEROES VITANI LEO ETHIOPIA

Wakilishi wa Tanzania Bara Kili Stars itashuka uwanjani leo saa kumi tayari kwa mechi yake ya pili dhidi ya Amavubi timu ya Taifa ya Rwandwa.Ikikumbukwa  Kili Stars katika mechi yake ya kwanza iliifunga Somalia 4-0.Ni matumaini ya Watanzania timu itaendeleza ubabe kwa Amavubi leo pia.

Wakati Zanzibar Heroes walioanza vibaya leo nao wanakibarua kingine cha kusaka pointi ili waweze kusonga hatua ya pili watakapo kutana na timu ngumu ya Uganda.

Tokeo la picha la kocha  wa zanzibar nadir haroub

Kapteni Zanzibar heroes(Nadir Cannavaro)

0 comments:

Post a Comment