Wakilishi wa Tanzania Bara Kili Stars itashuka uwanjani leo saa kumi tayari kwa mechi yake ya pili dhidi ya Amavubi timu ya Taifa ya Rwandwa.Ikikumbukwa Kili Stars katika mechi yake ya kwanza iliifunga Somalia 4-0.Ni matumaini ya Watanzania timu itaendeleza ubabe kwa Amavubi leo pia.
Wakati Zanzibar Heroes walioanza vibaya leo nao wanakibarua kingine cha kusaka pointi ili waweze kusonga hatua ya pili watakapo kutana na timu ngumu ya Uganda.
Kapteni Zanzibar heroes(Nadir Cannavaro)
Jaji Mkuu Masaju Kusimamia Uboreshaji wa Upatikanaji wa Haki kwa Mahabusu
na Wafungwa
-
*●Atoa ahadi hiyo alipotembelea Gereza la Isanga Dodoma*
*●Apongeza uboreshaji huduma za magereza nchini*
*Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma.*
*Jaji Mkuu ...
4 hours ago
0 comments:
Post a Comment