Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AENDELEA KUCHANJA MBUGA…
AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI MBALIZI
-
*Atoa maelekezo kwa wakulima kuendelea kujisajili katika mfumo wa kupata
Mbolea ya ruzuku,pembejeo.
*Aahidi mambo makubwa katika miaka mitano ijayo …agus...
9 hours ago
0 comments:
Post a Comment