Muigizaji nguli Eddie Murphy(54) anategemea kupata mtoto wa tisa katika maisha yake na mpenzi wake Paige Butcher(36).Mtoto huyo anatarajiwa mwezi wa tano mwaka 2016.Eddie Murphy ana watoto wengine nane kutoka kwa wanawake wanne tofauti akiwemo muimbaji wa zamani wa kundi la Spice girls Mel B.Anasema kwake sio shida bado wako vizuri na watoto wote hao ambayo wanakutana katika kipindi cha mapumziko katika jumba lake hivyo wako vizuri.
WASIRA APELEKA HABARI NJEMA TUNDUMA KUHUSU UPATIKANAJI WA MAJI,UPANUZI WA
BARABARA
-
Na Said Mwishehe,Tunduma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira
amewahakikishia wananchi wa Tunduma Mkoani Songwe kuwa Serikali
in...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment