Saturday, November 21, 2015

FC BARCELONA YAIFANYIA KITU MBAYA REAL MADRID MBELE YA MASHABIKI MILIONI 400

FC Barcelona wakicheza katika kiwango cha juu kabisa waliweza kuwafunga kwa jumla ya magoli manne wapinzani wao Real Madrid huku Ronaldo,Bale wakiwa hawana jipya katika mechi hiyo kubwa inayotazamwa na mamilioni ya watu duniani kote.Wafungaji walikuwa ni Luis Suarez dk 11,74 ,Neymar dk 39' na Iniesta dk 53'.

Lionel Messi

Iniesta na Messi wakishangilia

Luis SuarezSuarez na Neymar wakishangilia ushindi

0 comments:

Post a Comment