Tuesday, November 10, 2015

MEMBE ALETA MPYA BAADA YA RAISI MAGUFULI KUFUTA SAFARI ZA NJE

Tokeo la picha la bernard membe images


Baada ya hatua ya Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kusitisha safari za nje na kuamua balozi katika nchi husika wataratibu shughuli zote kwa niaba ya nchi.Aliye kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe amepiga amesea ilikuwa inatisha KWANI WATU WALIKUWA WANAENDA NJE KAMA KARIAKOO hivyo ameunga mkono hatua hiyo na kusema itapunguza matumizi ya serikali kwa kiasi kikubwa.Ni hatua ambayo kila mwananchi wa Tanzania ameungana nayo kwani safari nyingi zilikuwa hazina tija kwa Taifa bali kuongeza gharama na mzingo kwa taifa letu.

0 comments:

Post a Comment