Mtoto wa Kaka mchezaji wa kimataifa wa Brazili katika hali isiyo ya kawaida kwenye uwanja wa mazoezi ya wa timu ya Brazili,mtoto alionyesha kipaji cha hali ya juu baada ya kumpiga chenga ya mwili beki huyo nguli wa Brazili kabla ya kufunga goli safi kabisa ama kweli mtoto wa joka ni joka.
Luca akifanya yake mbele ya David Luiz
Luca akifunga goli safi
DK.SAMIA ATAJA MAMBO MATATU YANAYOSIMAMIWA NA SERIKALI KATIKA KULETA
MAENDELEO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
ametaja aina tatu ambazo Serikali imeende...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment