Thursday, November 19, 2015

HUYU NDIYE MTUHUMIWA WA MASHAMBULIZI YA KIGAIDI YA PARIS

ISIS' Abdelhamid Abaaoud wanted dead even his own family after Paris Attacks


Abdelhamid Abaaoud miaka 27 ambaye ndio mshutumiwa wa mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea mjini Paris-Ufaransa ambapo takribani zaidi ya watu 150 wanahofiwa kufa,amekuliwa Brussels ambako Baba yake alikuwa mfanyabiashara huko kabla ya kujiunga na ISIS alikuwa ni kijana mzuri ambaye hata majirani walikuwa wanamsifia kabla ya kugeuka na kuwa muuaji katika umri wa miaka 20 alipojiunga na ISIS.

0 comments:

Post a Comment