Monday, November 30, 2015

KOBE BRYANT KAMA MICHAEL JORDAN BAADA YA MSIMU HUU 2015-2015,

Kobe Bryant amefanya uamuzi mgumu baada ya kutangaza kuwa wakati umefika wa kuacha kucheza mchezo wa kikapu kwa misimu ishirini(20) inatosha.Baada miongo miwili ya mafanikio,medali mbili za dhahabu Olimpiki,alichaguliwa mara 17katika all stars mechi,pointi 81 kwa mechi na zaidi ya akishika nafasi ya pili kama mchezaji bora wa NBA tangu ligi ianzishwe huku akifunga zaidi ya pointi 32,000. Hakika hii inatosha kwa Kobe sasa kuachana na mchezo huu...

Sunday, November 29, 2015

MICHO AIPA UJIKO KILI STARS KAMA TIMU BORA,JE ITAIFUNGA ETHIOPIA KUINGIA NUSU FAINALI

Huku wakiwa na mechi ngumu kocha wa Uganda Micho amesema Kili Stars ndio Timu Bora kwa kiwango ilicho kionjesha katika hatua ya makundi kwa kufija robo fainali bila ya kufungwa. Leo wanashuka dimbani kupambana na wenyeji Ethiopia ambao wameingia kama best losers.Itambulike Ethiopia wana timu nzuru hivyo Kili Stars haina budi kutupa raha wa Tanzania ili waweze kupata matokeo na kusonga mbele. KILA LA KHERI KILI STARS. Maguli mshambuliaji...

Saturday, November 28, 2015

LIGI KUU YA UINGEREZA KUENDELEA LEO RATIBA NA MUDA CHEKI HAPA

PREMIER LEAGUE Aston VillavWatford15:00 BournemouthvEverton15:00 Crystal PalacevNewcastle15:00 Man CityvSouthampton15:00 SunderlandvStoke15:00 LeicestervMan Utd17:30 ...

Thursday, November 26, 2015

AIBU AIBU AIBU SOKA TANZANIA

Mipango madhubuti ndio itakayo ikomboa Tanzania kuwa kichwa cha mwendawazimu katika soka.Kumekuwa na mipango isiyo na tija kwa muda mrefu hasa ndani ya chama cha mpira cha Tanzania.Unaweza sema mipango inayofanywa ki kwa ajili ya maslahi ya viongozi na sio katika soka. Kamati ya ushindi ya TFF iliundwa kwa mbwembwe wengi tukatoa pongezi lakini matokeo yake imevunjwa baada ya kutolewa na Algeria sasa kama ilikuwa kwa mechi moja kuna haja ya...

WASOMI WAMWOMBA RAISI MAGUFULI KATIKA UONGOZI WAKE AJALI TAFITI ILI NCHI IPATE MAENDELEO YA KWELI

Wasomi wa Tanzania kwa muda mrefu wameshindwa kuhusishwa kikamili katika kusaidia nchi kupiga hatua kubwa ya maendeleo.Hii inatokana na serikali kwa kipindi kirefu kutochukua hatua ya kujali tafiti mbali mbali ambazo wana taaluma nchini wamekuwa wakizifanya lakini hazifanyiwi kazi na kubaki katika mafaili tu. Hivyo wanataaluma wamesifia kasi ya magufuli ila wameimuomba kama atakuwa anajali na kufanyia kazi tafiti katika maeneo tofauti zinazofanya...

EUROPA MATOKEO YOTE YA MECHI ZA JANA

EUROPA LEAGUE Celtic1 - 2AjaxFT FK Qarabag0 - 1TottenhamFT Liverpool2 - 1BordeauxFT Molde0 - 2FenerbahçeFT Monaco0 - 2AnderlechtFT Schalke1 - 0Apoel NicFT Sparta Prague1 - 0Asteras TripolisFT AZ Alkmaar1 - 2P'zan BelgradeFT FC Augsburg2 - 3Ath BilbaoFT Rubin Kazan2 - 0FC SionFT FK Krasnodar1 - 0Bor DortmdFT PAOK Salonika0 - 0FK QabalaFT ...

SERIKALI YA AWAMU YA TANO NI NOMA

Serikali ya awamu ya tano imetoa maelekezo mengine kama hatua ya kubana matumizi baada ya kutoa tamko kuwa mwaka 2015 serikali haitaingia gharama za uchapishaji kadi za XMAS AND NEW YEAR kama ilivyozoeleka.Hivyo matumizi hayo yataelekezwa kwenye mambo muhimu ya kijamaa.Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa mawasiliano Gerson Msigwa. ...

Monday, November 23, 2015

CHAMPIONI LIGI RATIBA MECHI ZA LEO:ARSENAL,BARCA,CHELSEA VITANI LEO

BarcelonavRoma19:45 ArsenalvDinamo Zagreb19:45 Bayern MunvOlympiakos19:45 M'bi Tel-AvivvChelsea19:45 BATE BorvBayer Levkn17:00 FC PortovDynamo Kiev19:45 Zenit St PvValencia17:00 LyonvKAA Gent19:45 ...

KILI STARS,ZANZIBAR HEROES VITANI LEO ETHIOPIA

Wakilishi wa Tanzania Bara Kili Stars itashuka uwanjani leo saa kumi tayari kwa mechi yake ya pili dhidi ya Amavubi timu ya Taifa ya Rwandwa.Ikikumbukwa  Kili Stars katika mechi yake ya kwanza iliifunga Somalia 4-0.Ni matumaini ya Watanzania timu itaendeleza ubabe kwa Amavubi leo pia. Wakati Zanzibar Heroes walioanza vibaya leo nao wanakibarua kingine cha kusaka pointi ili waweze kusonga hatua ya pili watakapo kutana na timu ngumu ya Uganda. Kapteni...

PAPA FRANCIS KUANZA ZIARA YA KITUME BARANI AFRIKA

Kiongozi  Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani anatarajia kuanza ziara yake barani  Afrika kwa kudhuru Kenya.Papa Francis anatawasili Kenya siku ya Jumatano tayari kuanza kwa ziara hiyo Barani Afrika ambako atakuwa kwa siku mbili na baadaye kwenda Uganda ambako nako atakuwa kwa siku mbili hadi Novemba 29 atakapoondoka kuelekea Jamhuri ya Afrika ya Kati. Eneo la Afrika Mashariki ni eneo lenye wakatoliki wengi na katika miaka ya hivi...

VIJANA NIA,UVUMILIVU NI DIRA YA MAFANIKIO SOMA HII KWA MBUNGE MDOGO KULIKO WOTE TANZANIA

Bi Halima A Bulembo akiwa na umri tu wa miaka 24 ameweza kuapishwa kuwa miongoni mwa Wabunge wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania.Haikuwa rahisi kufika hapo kwani ni takribani zaidi miaka zaidi ya 13 ameanza siasa akiwa darasa tano 2002 akiwa amegombea  mara tisa,kushindwa mara tano na kushinda  mara tano katika nafasi ya kuwakilisha vijana.Lakini mwaka 2015 ndio amefanikiwa kuwa mbunge wa viti maalumu akiwakilisha vijana,kwa kijana ambaye...

Harsh Truths Black People Don’t Want to Hear

1. Your own jealousies, competitiveness, in-fighting, unwillingness to support one another and pettiness with other black people is what’s keeping you from moving forward. (Pssssst! White people are masters at The Brown vs. Brown Game) 2. We never learn from history because we believe: a. That white people can change b. That things are “getting better” c. God will help us if we just pray and do nothing to help ourselves d. That just because we lack the capacity for evil, others lack it too. 3....

KAMA WABUNGE WANAMITAZAMO HII TUMEKWISHA

Kumekuwa na hali ya mpasuko kati ya wabunge walioteuliwa na wananchi juu ya maslahi yao.Kama ilivyo zoeleka katika awamu ya tatu na nne wabunge wamekuwa wakilipwa hela kwa ajili kununulia mashangingi(TOYOTA LAND CRUISER).Inasemekana wabunge wamegoma posho iliyopangwa kwa magari hayo kiasi cha milioni 90 kwa kila mmoja wangine wakitoa hoja shilingi la imeshuka thamani hivyo wanapaswa kupewa milioni 130 ili waweze kununua hayo magari. Kwa nchi...