Asernal wamezima ndoto za Manchester United kukaa kileleni baada ya kukubali kichapo kikubwa ndani ya uwanja wa Emirate Sanchez akifunga mara mbili dakika ya 6 na 19 huku Ozil akifunga moja dakika ya 7.Nakuifanya Asernal kukwea hadi nafasi ya pili nyuma ya Man u.
Orodha fupi ya Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL 2024 yatangazwa Dar es Salaam
-
Dar es Salaam, Juni 26, 2025 – Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL ya Fasihi ya
Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada iliyofuzu kwa mwaka 2024,
ikionesha us...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment