Monday, October 19, 2015

FACEBOOK yalalamikiwa na watumiaji kuwa chanjo cha SMARTPHONE nyingi kuisha chaji.

Kampuni ya Facebook imeingia matatani baada ya watumiaji wake wengi kulalamikia kuwa IPHONE(SMARTPHONE)zimekuwa chanjo cha simu zao kuisha chaji haraka,kwaniwanalala hata ukizima simu Facebook application itakuwa inaeendelea kufanya kazi pasipo wewe kugundua.

Kupelekea hili kampuni imeamua kuchukua hatua na kufanya upembuzi yakinifu ili kugundua nini kinasababisha.Hivyo wameaahidi kulifanyia kazi ili kupata suluhisho na kuondoa kero hii kwa watumiaji wake.Kweli wezetu wanawajibika.

Tokeo la picha la facebook logo

0 comments:

Post a Comment