Saturday, October 31, 2015

YANGA YAREJEA KILELENI,HUKU SIMBA IKITOA DOZI TAKATIFU KWA MAJIMAJI

Yanga imefanikiwa kurudi kileleni baada ya kuifunga Kagera Sugar 2-0,Donald Ngoma dakika 23 na Desu Kaseke  dakika 62 wakifunga kila mmoja.

Tokeo la picha la deus kaseke yanga
Ngoma akishangilia na kocha wake

Tokeo la picha la deus kaseke yanga
Deus Kaseke leo amefunga goli lake la kwanza katika ligi.
Simba leo imewapa raha mashabiki wao baada ya kuifunguka Maji Maji idadi kubwa ya magoli 6-1.Alikuwa Ajib alifunga hat-tick dakika ya 8,11 na 42,Hamisi Kiiza alifunga dakika 37 na 80 na Tshabalala dakika 79.Huku Maji Maji ikipata goli kupitia kwa Nchimbi dakika ya 88.

Tokeo la picha la ajib simbaAjib shujaa wa Simba

Tokeo la picha la kiiza simbaDiego(Kiiza)akishangilia goli.

0 comments:

Post a Comment