Jurgen Klopp amejitia kitanzi ndani ya liverpool na kuwaahidi mashabiki kuanza kuamini zaidi kuliko kuwa na wasiwasi huku akifunga zaidi ya pound 6 milioni kwa msimu.Huku akitamka kuwa amepata kazi nzuri yenye changamoto katika ulimwengu wa soka.
WIZARA YA ARDHI YAINGILIA KATI SAKATA LA ENEO LENYE MGOGORO GEITA
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa
matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibw...
3 hours ago







0 comments:
Post a Comment