Jurgen Klopp amejitia kitanzi ndani ya liverpool na kuwaahidi mashabiki kuanza kuamini zaidi kuliko kuwa na wasiwasi huku akifunga zaidi ya pound 6 milioni kwa msimu.Huku akitamka kuwa amepata kazi nzuri yenye changamoto katika ulimwengu wa soka.
BILIONI 12 ZA RAIS SAMIA KUKAMILISHA UJENZI SHULE ZA SEKONDARI RUKWA NA
KATAVI
-
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan
imekamilisha ujenzi wa shule mbili za kisasa za Amali Wilayani Kibondo
Mkoani T...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment