<div style="text-align: justify;"> Waswahili hupenda kusema muda umetaradadi zikiwa zimebakia siku 9 kabla ya wananchi wa Taznania kufanya maamuzi juu ya kiongozi wao wa nchi.Mambo yanaendelea Kwa wagombea wenye wafuasi wengi huku Lowassa akitoa onyo kwa NEC baada ya mambo kadhaa kuibuka kama sintofahamu katika daftari la wapiga kura na kauli za kuingilia NEC katika kazi zake katika kipindi hichi kabla ya uchaguzi huku matamko yenye utata yakitolew na viongozi wakuu wa serikali.Lakini kwa upande wa Magufuli yeye bado anaendelea na kampeni huku akiahidi mambo mengi tuu kama kuwapa mikataba mawaziri atakao wateua na nyengine nyingi.
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
3 hours ago







0 comments:
Post a Comment