<div style="text-align: justify;"> Waswahili hupenda kusema muda umetaradadi zikiwa zimebakia siku 9 kabla ya wananchi wa Taznania kufanya maamuzi juu ya kiongozi wao wa nchi.Mambo yanaendelea Kwa wagombea wenye wafuasi wengi huku Lowassa akitoa onyo kwa NEC baada ya mambo kadhaa kuibuka kama sintofahamu katika daftari la wapiga kura na kauli za kuingilia NEC katika kazi zake katika kipindi hichi kabla ya uchaguzi huku matamko yenye utata yakitolew na viongozi wakuu wa serikali.Lakini kwa upande wa Magufuli yeye bado anaendelea na kampeni huku akiahidi mambo mengi tuu kama kuwapa mikataba mawaziri atakao wateua na nyengine nyingi.
Job Ndugai afariki Dunia Leo Agosti 6, 2025
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma.*
*Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa
Kongwa, Job Yustino Ndugai, amefariki dunia leo Ag...
13 hours ago
0 comments:
Post a Comment