Maisha ni kutafuta bila kuchoka vijana wenzangu ingawa ajira zimekuwa ngumu ila naamini kila mtu ana nafasi yake na atafanikiwa kwa muda wake kwa wale hofu ya Mungu wanaamini hivyo pia kuomba bila kuchoka kwani yeye aliyejuu anajibu kwa wakati wake.Ingawa sisi tunachoka ni hali ya kawaida ukiwa unatafuta ila msingi ni kujua HAKUNA MAENDELEO KAMA HAMNA MAPAMBANO. Tembelea website yao kwa maelezo zaidi http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=386
SEKIBOKO: SERIKALI IWEKEZE UBUNIFU WA ULTRASOUND WA UDOM
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetakiwa kuongeza uwekezaji katika tafiti na ubunifu unaofanywa
na vyuo vya elimu ya juu nchini ili kusaidia kutatua changam...
3 minutes ago







0 comments:
Post a Comment