Maisha ni kutafuta bila kuchoka vijana wenzangu ingawa ajira zimekuwa ngumu ila naamini kila mtu ana nafasi yake na atafanikiwa kwa muda wake kwa wale hofu ya Mungu wanaamini hivyo pia kuomba bila kuchoka kwani yeye aliyejuu anajibu kwa wakati wake.Ingawa sisi tunachoka ni hali ya kawaida ukiwa unatafuta ila msingi ni kujua HAKUNA MAENDELEO KAMA HAMNA MAPAMBANO. Tembelea website yao kwa maelezo zaidi http://www.ajira.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_details&Itemid=0&gid=386
DK.SAMIA ATAJA MAMBO MATATU YANAYOSIMAMIWA NA SERIKALI KATIKA KULETA
MAENDELEO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
ametaja aina tatu ambazo Serikali imeende...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment