Saturday, October 24, 2015

HATIMAYE KARO KUTOPANDA TENA 2016 KWENYE VYUO VIKUU AFRIKA KUSINI


Tokeo la picha la zuma images

Jacob Zuma-Rais wa Afrika Kusini

Rais Zuma wa Afrika Kusini ameutangazia umma wa wanafunzi walio kuwa nje ya ofisi yake  kuwa karo kwenye vyuo vikuu haitaongeka tena baada ya maandamo makubwa kutokea nchini humo tangu kumalizika kwa ubaguzi wa rangi 1994.Kabla ya hapo ilipendekezwa serikali ilikubali kuongeza ada kwa 6% kupinga ile ya iliyopendekezwa na wasimamizi wa vyuo kati ya 10% na 12%.Hivyo basi hakutakuwa na ongezeko lolote kwa mwaka wa masomo 2016.Kweli mabadiliko yanahitaji umoja wameweza bila ya kuangalia tofauti zao kati ya Raia wenye  asili ya kizungu na kiafrika wote walijumuika katika maandamo hayo.

Tokeo la picha la students riot in south africa images


Tokeo la picha la students riot in south africa images

Tokeo la picha la students riot in south africa images

Wanafunzi wakiwa katika maaandamo kabla ya kukubaliwa ombi lao.


0 comments:

Post a Comment