Simba jana ilirejesha matumaini baada ya kuifunga coasta union katika uwanja wa Taifa bao 1-0 Kiiza akiwa shujaa baadaya majeruhi.
Yanga ilitoka sare 2-2 na Mwadui huko Shinyanga huku ngoma akipiga zote mbili.
MATOKEO YA JANA
MWADUI 2 YANGA 2
SIMBA 1 COASTAL UNION 0
TOTO AFRICANA 1 MGAMBO JKT 0
MTIBWA SUGAR 1 KAGERA SUGAR 0
MBEYA CITY 1 MAJIMAJI 1
NDANDA 0 STAND UNITED 0
KATIBU TAWALA UBUNGO: MALALAMIKO YA KODI KWA SASA YAMEPUNGUA
-
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Bw. Hassan Mkwawa
amesema kuwa, kwa sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya juhudi
kubwa z...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment