Simba jana ilirejesha matumaini baada ya kuifunga coasta union katika uwanja wa Taifa bao 1-0 Kiiza akiwa shujaa baadaya majeruhi.
Yanga ilitoka sare 2-2 na Mwadui huko Shinyanga huku ngoma akipiga zote mbili.
MATOKEO YA JANA
MWADUI 2 YANGA 2
SIMBA 1 COASTAL UNION 0
TOTO AFRICANA 1 MGAMBO JKT 0
MTIBWA SUGAR 1 KAGERA SUGAR 0
MBEYA CITY 1 MAJIMAJI 1
NDANDA 0 STAND UNITED 0
SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR
-
Na Mwandishi Wetu,
MBEYA,
16 Machi, 2025
KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema
kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment