Friday, October 30, 2015

MAGUFULI NA SAMIA WAKABIDHIWA VYETI NA KUAHIDI KUWATUMIKIA WANANCHI KWA DHATI

Raisi Mteule baada ya kupokea cheti kutoka kwa Jaji Lubuva

Raisi Mteule amekabidhiwa cheti chake cha kudhibitisha kuwa mshindi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika 25-10-2015.Raisi huyo mteule amesema atawatumikia wananchi kwani anadeni kubwa na anaona ugumu wa kazi iliyopo mbele yake.
Ameendelea na kuwapa angalizo watendaji wabovu hatawavumilia hata kidogo hivyo watimize majukumu yao kikamilifu la sivyo atafukuzwa tu.Na yeye atakuwa ni Raisi wa nchi nzima hivyo anaomba wananchi wote wamsaidie.
Akiwa na Mgombea wa ACT Anna.


Baadhi ya sehemu ya wanachama waliokuwepo kwenye ukumbi.

0 comments:

Post a Comment