Wednesday, October 28, 2015

MAREKANI YATAKA MCHAKATO UCHAGUZI ZENJ UENDELEE,SEIFU ATAKA JUMUIYA KIMATAIFA IINGILIE

Tokeo la picha la embassy of usa in dar es salaam images



Balozi ya Marekani imeomba ZEC iendeleee na mchakato wa kutangaza matokeo ili iwape Wanzanzibari haki yao kwani ni vyema kuheshimu haki yao.Tume ya uchaguzi ilichukua hatua hiyo jana huku ikitoa orodha ya changamato kupelekea kusitisha zoezi zima.Ingawa bado sintofahamu inaendelea kwani Mgombea kupitia CUF Maalim Seif amepinga.Tuombee tu mchakato uendelee na wananchi wapewe haki yao.

0 comments:

Post a Comment