Kayumba Juma mtoto wa Manzese ndio mshindi wa Bongo Star Search season 8,hii ndio michakato tunayotaka kusisitiza maisha ni kupigana Kayumba angeona aibu na kujichukulia poa kwa sababu ya historia yake leo tusingekuwa tunampa HEADLINES,lakini kipaji kimemfikisha katika maisha mengine na anaweza kufanikiwa zaidi kama akiwa makini na kujituma ni kijana mdogo wa miaka 19 tuu.Ni wakati wa kupigania ndoto zetu na tutafanikiwa Ben Paul ameimba you can be anyone.Big up Kayumba pigana zaidi dogo,vijana wenye nia wataiga kwako.
Orodha fupi ya Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL 2024 yatangazwa Dar es Salaam
-
Dar es Salaam, Juni 26, 2025 – Tuzo ya Kiswahili ya SAFAL ya Fasihi ya
Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada iliyofuzu kwa mwaka 2024,
ikionesha us...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment