Kayumba Juma mtoto wa Manzese ndio mshindi wa Bongo Star Search season 8,hii ndio michakato tunayotaka kusisitiza maisha ni kupigana Kayumba angeona aibu na kujichukulia poa kwa sababu ya historia yake leo tusingekuwa tunampa HEADLINES,lakini kipaji kimemfikisha katika maisha mengine na anaweza kufanikiwa zaidi kama akiwa makini na kujituma ni kijana mdogo wa miaka 19 tuu.Ni wakati wa kupigania ndoto zetu na tutafanikiwa Ben Paul ameimba you can be anyone.Big up Kayumba pigana zaidi dogo,vijana wenye nia wataiga kwako.
WASIRA APELEKA HABARI NJEMA TUNDUMA KUHUSU UPATIKANAJI WA MAJI,UPANUZI WA
BARABARA
-
Na Said Mwishehe,Tunduma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira
amewahakikishia wananchi wa Tunduma Mkoani Songwe kuwa Serikali
in...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment