Mgombea urahisi kupitia umoja wa vyama vya upinzani (ukawa) Edward Lowassa akihutubia mkutano katika viwanja Kwasakwasa wilayani Same ametoa ahadi ya kufuta madeni yote ya wanafunzi kupitia Bodi ya mikopo na kuaahidi kutoa elimu bure kuanzia shule za msingi mapaka chuo kikuuu.Ni habari njema kwani kwa tathimini ndogo mtu ukishindwa kulipa mkopo wake ndani ya miaka mitatu au mitano labda kwa kushindwa kufanya hivyo baada ya kushindwa kupata kazi au mtaji wa kujiari thamani ya mkopo inaweza kuwa mara mbili zaidi kwa sababu ya asilimia inayojikusasha kila mwaka.
MKOA WA PWANI WATAKIWA KUWA NA MIKAKATI MADHUBUTI YA KUKUZA BIASHARA NA
KUVUTIA WAWEKEZAJI
-
Picha ya pamoja Baadhi ya washiriki wakati wa mafunzo ya uendeshaji wa
Majadiliano kati ya Sekta ya Umma na Binafsi katika Mkoa wa Pwani,
yaliyoratibiwa n...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment