Mgombea urahisi kupitia umoja wa vyama vya upinzani (ukawa) Edward Lowassa akihutubia mkutano katika viwanja Kwasakwasa wilayani Same ametoa ahadi ya kufuta madeni yote ya wanafunzi kupitia Bodi ya mikopo na kuaahidi kutoa elimu bure kuanzia shule za msingi mapaka chuo kikuuu.Ni habari njema kwani kwa tathimini ndogo mtu ukishindwa kulipa mkopo wake ndani ya miaka mitatu au mitano labda kwa kushindwa kufanya hivyo baada ya kushindwa kupata kazi au mtaji wa kujiari thamani ya mkopo inaweza kuwa mara mbili zaidi kwa sababu ya asilimia inayojikusasha kila mwaka.
RAIS SAMIA AMELITENDEA HAKI TAIFA – SPIKA DKT. TULIA
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa
Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ametoa pongezi za dhati kwa
Rais w...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment