Wednesday, October 28, 2015

VIGOGO WAENDELEA KUBORONGA CAPITAL ONE,KLOP AONJA USHINDI NA LIVERPOOL,MAN CITY YAUA.


Louis van Gaal


Timu vigogo nchini Uingereza bado wameendelea kuboronga kwenye LEAGUE ONE jana Manchester ilishuhudia ikitolewa katika mikwaju ya penalti dhidi ya Middlesbroug kwa 3-1 huku Wayne Rooney,Ashley Young na Michael Carrick wakikosa penati.

Wayne Rooney
Rooney akirudi baada ya kukosa penati


Liverpool iliyochini ya kocha mpya mjerumani Klop ilipata ushindi wa kwanza dhidi ya Bournemouth kwa kuilaza 1-0,Beki Cylne akiwa shujaa.

Liverpool manager Jurgen Klopp
Klop akishangilia


Manchester City ilifungisha Crystal Palace kwa kuibamiza 5-1,De Bruyne akipiga goli lake la sita dakika 44,mengine Bony 1,Yaya Toure 1,Garcia Alonso 1 na Kelechi Iheanacho 1



Kevin De Bruyne

0 comments:

Post a Comment