Saturday, October 31, 2015

LEADERS HAPATOSHI LEO USIKU WIZKID ANAHAMU YA KUONA MASHABIKI WAKE WA TANZANIA

Wizkid amewasili jana usiku na kutoa ahadi ya kufanya kweli katika onyesho lake la Leaders chini ya udhamini KING SOLOMONI HALL akiojiwa na Sammisago wa EATV alisema mengi kwamba yeye ni mtu mchechi pia,yuko makini katika kuchagua makini ila siku zote anamshukuru Mungu kwa alipofikiwa kwani anajua historia yake.

Kwa wapenzi wa mziki leo sio siku ya kukosa mtu maana jamaa atafanya kweli akipigwa tafu na Daimond,Christian Bella,Fid Q na wengine tukutane Leaders watu wangu.


Wizkid Airport Dar.

0 comments:

Post a Comment