Yanga leo imelazimishwa sare na Azam katika mchezo uliokosa ufundi kwa timu zote.Yanga ilipata bado lake kupitia kwa Donald Ngoma katika kipindi cha kwanza huku Kipre Tchetche aliyeingia alisawazisha katika kipindi cha pili
Huko Mbeya Simba iliitambia Mbeya city baada ya kuiifunga bao moja kupitia kwa Juuko Murshid.Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kuongoza huku Azam ikifuatia na Simba ni ya tatu.
DK.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI SHINYANGA KUMPIGIA KURA ZA KISHINDO ZA URAIS
DKT.SAMIA,WABUNGE NA MADIWANI.
-
Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel
John Nchimbi akiwahutubia Wakazi wa mji mdogo wa Isaka wilayani Kahama,
jimbo...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment