Yanga leo imelazimishwa sare na Azam katika mchezo uliokosa ufundi kwa timu zote.Yanga ilipata bado lake kupitia kwa Donald Ngoma katika kipindi cha kwanza huku Kipre Tchetche aliyeingia alisawazisha katika kipindi cha pili
Huko Mbeya Simba iliitambia Mbeya city baada ya kuiifunga bao moja kupitia kwa Juuko Murshid.Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kuongoza huku Azam ikifuatia na Simba ni ya tatu.
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
6 hours ago
0 comments:
Post a Comment