Yanga leo imelazimishwa sare na Azam katika mchezo uliokosa ufundi kwa timu zote.Yanga ilipata bado lake kupitia kwa Donald Ngoma katika kipindi cha kwanza huku Kipre Tchetche aliyeingia alisawazisha katika kipindi cha pili
Huko Mbeya Simba iliitambia Mbeya city baada ya kuiifunga bao moja kupitia kwa Juuko Murshid.Kwa matokeo hayo Yanga inaendelea kuongoza huku Azam ikifuatia na Simba ni ya tatu.
Huu Mchezo Unakulipa kwa Njia 81| 81 Vegas Magic Kasino
-
UNAIJUA Kasino? Kuna mchezo unaitwa Super Heli na Aviator inafanya poa
sana, lakini nikwambie tu Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna sloti moja
inatema ...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment