Thursday, October 1, 2015

MIKAKATI KWA WAHITIMU WA VYUO VIKUU JUU YA MAISHA BAADA YA CHUO

Twaweza sema tatizo la ajira sasa linakuwa janga ndani ya serikali nyingi za africa huku wahitimu wengi wakiwa wanahaha kutafuta ajira ambazo zimekuwa ni adimu sana katika kipindi hiki.Hii imepelekea serikali nyingi kuelekeza wahitimu watumie fursa walizo nazo waweze kujiari.Hivyo kuelekea hili vyuo 16 vya Afica vimekutana mjini Arusha kupanga mikakati jinsi ya kuwasaidia vijana wanaohitimu katika vyuo,waweze kujiajiri badala ya kusubiri ajira pekee.Hakika hili linapaswa kusimamiwa ili kubadili akili za wahitimu wengi ili kuwafanya wajisiri na kuweza kujiari na kupunguza tatizo la ajira

0 comments:

Post a Comment