Twaweza sema tatizo la ajira sasa linakuwa janga ndani ya serikali nyingi za africa huku wahitimu wengi wakiwa wanahaha kutafuta ajira ambazo zimekuwa ni adimu sana katika kipindi hiki.Hii imepelekea serikali nyingi kuelekeza wahitimu watumie fursa walizo nazo waweze kujiari.Hivyo kuelekea hili vyuo 16 vya Afica vimekutana mjini Arusha kupanga mikakati jinsi ya kuwasaidia vijana wanaohitimu katika vyuo,waweze kujiajiri badala ya kusubiri ajira pekee.Hakika hili linapaswa kusimamiwa ili kubadili akili za wahitimu wengi ili kuwafanya wajisiri na kuweza kujiari na kupunguza tatizo la ajira
DC SHAKA ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI KUTUMIA NYUMBA ZA IBADA KUJENGA
JAMII YENYE HOFU YA MUNGU
-
Na Mwandishi Wetu, Morogoro
MKUU wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka, amewataka viongozi, Taasisi za
dini kutumia nyumba za ibada kujenga jamii yenye maa...
3 hours ago






0 comments:
Post a Comment