Twaweza sema tatizo la ajira sasa linakuwa janga ndani ya serikali nyingi za africa huku wahitimu wengi wakiwa wanahaha kutafuta ajira ambazo zimekuwa ni adimu sana katika kipindi hiki.Hii imepelekea serikali nyingi kuelekeza wahitimu watumie fursa walizo nazo waweze kujiari.Hivyo kuelekea hili vyuo 16 vya Afica vimekutana mjini Arusha kupanga mikakati jinsi ya kuwasaidia vijana wanaohitimu katika vyuo,waweze kujiajiri badala ya kusubiri ajira pekee.Hakika hili linapaswa kusimamiwa ili kubadili akili za wahitimu wengi ili kuwafanya wajisiri na kuweza kujiari na kupunguza tatizo la ajira
BILIONI 12 ZA RAIS SAMIA KUKAMILISHA UJENZI SHULE ZA SEKONDARI RUKWA NA
KATAVI
-
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan
imekamilisha ujenzi wa shule mbili za kisasa za Amali Wilayani Kibondo
Mkoani T...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment